Uncategorized

EXCLUSIVE: USAJILI WA BIGIRIMANA WAZUA MSALA YANGA, APR KUCHUKA HATUA ZA KISHERIA

admin May 30, 2019 9:09 pm


Katibu Mkuu wa APR ya Rwanda Adolphe Kalisa, amefunguka kwa kusema kuwa ameshangazwa na Yanga kwa kumsajili mchezaji wake Issa Birigimana bila kufuata taratibu.

Kalisa ameeleza kuwa ameshangazwa na klabu kubwa kama Yanga kufanya maamuzi hayo ili hali mchezaji huyo akiwa bado hajamaliza mkataba wake na APR.

Yanga umemtangaza Birigimana kuwa mchezaji wake kwa kusaini mkataba wa miak miwili utakaomalizika mwaka 2021.

“Tumeishangaa klabu kubwa Kama Yanga kumsajili mchezaji wetu Issa Birigimana ambaye bado ana mkataba mpaka 2020.

“Hatuna uhakika kama klabu hii ina katibu mkuu, hatua za kisheria zitafuata.”

Salimu Aiyee na kiboko ya Simba Sc wapo mtegoni. SAMATTA ATANGAZA KUREJEA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply