Uncategorized

UKIACHANA NA WALE WANAOTEMWA YANGA, HAWA HAPA WANATOLEWA KWA MKOPO

admin May 31, 2019 10:49 am


Wakati maboresho ya kikosi cha Yanga yakiendelea kufanyika hivi sasa kwa kusajili wachezaji wapya, baadhi wametajwa kuondolewa kwa mkopo.

Yanga hivi sasa imesajili wachezaji takribani saba wapya ikiwa na malengo makubwa ya kuurejesha ubingwa wake baada ya kuukosa kwa misimu miwili mfululizo.

Wachezaji wanaotajwa kuondolewa kwa mkopo ni pamoja na Mrisho Ngasa, Abdallah Shaibu ‘Ninja’.

Wengine ni Deus Kaseke, Jaffar Mohamed na Mohamed Issa Banka.

Kumekuwa na tetesi hizi japo bado uongozi haujataka kuliweka wazi kinagaubaga juu ya wapi wataelekea na itakuwa lini.

NAMUNGO YAANZA KUIVURUGA BIASHARA UNITED YANGA WAPEWA BURE MBADALA WA MAKAMBO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply