Uncategorized

PLAYOFF NGOMA NI NZITO, SASA MECHI ZA MWISHO KUAMUA

admin June 3, 2019 5:04 pm


Mechi zote za leo za Playoff zimekamilika kwa timu zoe kutoshana nguvu huku wote wakitamba kupata matokeo mchezo wa mwisho utakaochezwa Juni 8 mwaka huu.

Mechi za mwisho ndizo ziakazoamua timu ambayo itapanda daraja ama kubaki kwenye ligi kati ya Mwadui ama Kagera kubaki TPL ama Geita na Pamba kupanda msimu ujao.

FT: Pamba SC 0-0 Kagera Sugar, uwanja wa Nyamagana Pamba walikuwa wenyeji.

FT: Geita Gold FC 0-0 Mwadui FC, uwanja wa Nyankumbu Girls ambao Geita walikuwa wenyeji.

KWA USHINDANI ULIOPO KWA SASA KILA TIMU ISAJILI KIUFUNDI NA SIO BORA LIENDE STARS KUMENOGA, DOZI MARA MBILI KWA SIKU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply