Home Uncategorized HAJI MANARA AWACHANA YANGA, ASEMA SIMBA NDIYO IMEWAPELEKA CAF CHAMPIONS LEAGUE

HAJI MANARA AWACHANA YANGA, ASEMA SIMBA NDIYO IMEWAPELEKA CAF CHAMPIONS LEAGUE

0

Alichokiandika Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, kuhusiana na kutoka kwa nafasi nne kwa timu za Tanzania kushiriki mashindano ya kimataifa Nafasi hizo zimetolewa na Shirikisho la Soka Afrika CAF