Uncategorized

AISHI MANULA APIGWA PINI RASMI MIAKA MITATU

admin June 11, 2019 11:36 am

MLINDA mlango wa Simba, Aishi Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Kariakoo, Msimbazi.


Manula anakuwa mchezaji wa pili kutambulishwa rasmi kuongeza mkataba ndani ya klabu hiyo baada ya jana mchezaji John Bocco kutangazwa rasmi kwamba ameshamalizana na klabu hiyo kwa kuongeza mkataba wa maika miwili.


Kwa sasa Manula yupo nchini Misri akiwa na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ambayo imeweka kambi kwa ajili ya michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza Juni 21.
Hakuna uhakika wa Zana JERO TU UTAONA MECHI KALI YA LEO, MZUMBE VIJANA CUP, TEGETA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply