Uncategorized

JERO TU UTAONA MECHI KALI YA LEO, MZUMBE VIJANA CUP, TEGETA

admin June 11, 2019 12:31 pm


LIGI ya Mzumbe Vijana Cup inazidi kukata mbunga ambapo leo majira ya saa 10:00 uwanja wa Sekondari Tegeta itaipigwa bonge moja ya mechi.

Ligi hiyo  kwa sasa ipo hatua ya 16 bora na kila timu imepania kuibuka na ushindi ili kupenya kwenye ligi hii ambayo wajanja wengi wameikubali.

Leo ni mchezo kati ya Nyatunyatu FC dhidi ya Bondeni FC na uchakavu mdogo tu wa mfuko shilingi mia tano tu.

AISHI MANULA APIGWA PINI RASMI MIAKA MITATU YANNICK CARRASCO KUIBUKIA KWA WASHIKA BUNDUKI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply