Uncategorized

MWANTIKA AREJESHWA TAIFA STARS

admin June 19, 2019 10:11 am


Beki mkongwe nchini David Mwantika amerudishwa katika kikosi cha Taifa Stars kilichopo Misri kujiandaa na mashindano ya AFCON.

Mwantika amerejeshwa baada ya kuumia kwa Aggrey Morris wakati wa mechi ya kirafiki dhidi ya Misri.

Mwantika aliachwa katika mchujo wa mwisho nchini Misri uliofanyika kabla ya kuanza kwa mechi za kirafiki.

Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Juni 21 nchini humo ambapo Stars itakuwa inashiriki baada ya miaka 39 kupita bila kushiriki.

COASTAL UNION YAFANYA MAAMUZI MAGUMU KUHUSU ALI KIBA UNITED YAMKOMALIA POGBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply