Uncategorized

NYOTA WA SIMBA AMCHIMBA MKWARA MO SALAH

admin June 30, 2019 6:33 am

NYOTA wa timu ya Taifa ya Uganda na timu ya Simba, Juuko Murshid amesema kuwa yupo fiti kumenyana na Misri bila kuhofia uwepo wa nyota Mohamed Salah anayekipiga Liverpool.

Uganda itamenyana leo na Misri uwanja wa Cairo International ikiwa ni mechi ya mwisho kwenye kundi A ambalo Misri anaongoza akiwa na pointi sita huku Uganda wakiwa na pointi nne nafasi ya pili.

“Tunaamini mechi itakuwa ngumu ila kwenye mpira lolote linaweza kutokea kwa sasa hatuna hofu tupo tayari kupambana,” amesema.
NINJA APATA DILI ULAYA, ASAINI NYOTA MPYA KMC AIYEE AKIWASHA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply