Uncategorized
PSG WATAJA DAU LA KUIKOMOA BARCELONA
PARIS St. German (PSG) imewaambia Barcelona iwalipe mkwanja wa pauni milioni 197 sawa na sh.bilioni 573 ili wamwachie Neymar Jr.
PSG ililipa kiasi hicho cha fedha wakati ilipomyakua akitoka Barcelona mwaka 2017.
Imeelezwa kuwa Neymar kwa sasa hana furaha kubaki ndani ya kikosi hicho, hesabu zake ni kurejea Barcelona.

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.