Uncategorized

HUYU NDIYE RYAN MOON ANAYETAJWA KUTUA SIMBA

admin June 19, 2019 11:56 am


RYAN  Moon amezaliwa September 15, 1996 Pietermartzburg-KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini.

Kwenye maisha ya soka yeye anacheza nafasi ya ushambuliaji na anapenda kuvaa jezi namba 7, amecheza jumla ya mechi 25 kwa mwaka 2016-17 akiwa na timu mbili tofauti ambazo ni pamoja na Martzburg United ambapo alicheza jumla ya mechi mbili na zote hizo hakufunga bao.

Pia kwenye klabu yake ya Kaizer Chief amecheza jumla ya mechi 25 na amefunga jumla ya mabao matano.

Kwenye timu ya Taifa ya Afrika Kusini amecheza jumla ya mechi 8 tangu mwaka 2017 na amefunga bao 1, imeelezwa kuwa yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Simba.

UNITED YAMKOMALIA POGBA ORODHA YA NCHI AMBAZO ZIMEANDAA MARA NYINGI MICHUANO YA AFCON

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply