Uncategorized

PRESHA YA MENEJA MPYA WA CHELSEA LAMPARD IPO NAMNA HII

admin July 6, 2019 11:17 am

MENEJA mpya wa Chelsea, Frank Lampard amesema kuwa anatambua presha kubwa ya bosi wa kikosi hicho, Roman Abramovich hasa timu inaposhindwa kupata matokeo chanya.

Lampard ameajiriwa na Chelsea kwa kandarasi ya miaka mitatu akibeba mikoba ya Maurizo Sarri ambaye ametimkia Juventus.

Mpaka sasa Abramovich amefanya kazi na makocha 13 tangu ainunue klabu hiyo mwaka 2003.

“Nikiwa mchezaji nakumbuka vizuri wakati Abramovich alipotua kwenye klabu alitusisitiza kwamba anapenda kuona mafanikio makubwa kisoka, hivyo najua nina kazi ngumu ya kufanya,” amesema Lampard ambaye ametoka kikosi cha Derby Country.

KMC YAPANIA KUFANYA KWELI RWANDA NYOTA WA SIMBA KUTIMKIA NAMUNGO FC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply