Uncategorized

NYOTA WA SIMBA KUTIMKIA NAMUNGO FC

admin July 6, 2019 12:52 pm

MOHAMED Rashid mshambuliaji wa Simba inawezekana msimu ujao akakipiga kwenye klabu mpya ya Namungo.

Rashid amekuwa hana nafasi kubwa ndani ya KMC baada a mabosi hao kuonyesha dalili za kutaka kuachana naye msimu ujao baada ya kupata washambuliaji wapya.

KMC ambayo ipo nchini Rwanda kwa ajili ya michuano ya Kagame imesajili washambuliaji watatu wakali kama Ramadhan Kapela, Vitalis Mayanga na Salim Aiyee.

PRESHA YA MENEJA MPYA WA CHELSEA LAMPARD IPO NAMNA HII KOCHA SIMBA ATAJA KINACHOMFELISHA IBRAHIM AJIBU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply