Uncategorized

KOCHA SIMBA ATAJA KINACHOMFELISHA IBRAHIM AJIBU

admin July 6, 2019 12:58 pm

KOCHA wa zamani wa kikosi cha Simba na Dodoma FC, Jamhuri Khiwelu ‘Julio’ amesema kuwa nyota mpya wa Simba, Ibrahim Ajbu ana uwezo na kipaji kikubwa kuliko nahodha wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta anayekipiga KRC,Genk.

Julio amesema kuwa kinachombeba Samatta ni juhudi na kujituma hivyo kama Ajibu atafanya hivyo atakuwa mbali.

“Huwa ninamwambia mara kwa mara Ajibu kila ninapokutana naye kwamba ana kipaji kikubwa zaidi ya Samatta hivyo anapaswa afuate nyayo za nyota huyo anayekipiga Genk.

“Kama ataongeza juhudi na nidhamu atafikia malengo yake kwa wakati kuliko ilivyo sasa kwani bado muda wa mafanikio upo kwake,” amesema.

NYOTA WA SIMBA KUTIMKIA NAMUNGO FC WACHEZAJI YANGA WACHELEWESHA KUANZA KWA KAMBI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply