Uncategorized

KMC YAPANIA KUFANYA KWELI RWANDA

admin July 6, 2019 10:12 am

UONGOZI wa KMC umesema kuwa utaitumia michuano ya kombe la Kagame kwa ajili ya kujiaandaa na michuano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu Bara.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa habari wa KMC, Anwari Binde amesema kuwa kwa sasa kikosi kimeweka kambi nchini Rwanda kwa ajili ya michuano ya Kagame ambayo inaanza kutimua vumbi kesho.

“Tupo sawa na tumejipanga kufanya maajabu kwenye michuano hii, tunatambua mashabiki wanatuombea nasi tutafanya kweli hatutawaangusha, kwani tutatumia michuano hii kwa ajili ya kujiaanda na michuano ya kimataifa ikiwa ni kombe la Shirikisho pamoja na mashindano ya Ligi Kuu Bara,” amesema.

YANGA YAPINDUA MEZA USAJILI WA GADIEL PRESHA YA MENEJA MPYA WA CHELSEA LAMPARD IPO NAMNA HII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply