Uncategorized

ANTOINE GRIEZMANN AINGIA KWENYE REKODI YA WACHEZAJI GHALI

admin July 13, 2019 12:25 am

ANTOINE Griezmann amejiunga na Barcelona kwa kusaini kandarasi ya miaka mitano akitokea kikosi cha Atletico Madrid.
Nyota huyo mwenye miaka 28 anayekipiga timu ya Taifa ya Ufaransa ambao ni mabingwa wa kombe la Dunia amesaini dili hilo ambalo limefikisha gharama ya milioni 800 Euro ikiwa ni gharama ya ada ya usajili wake.
Atletico Madrid bado hawana furaha kumuacha mchezaji wao kujiunga na klabu ya Barcelona kutokana na umuhimu wake ndani ya kikosi chao.
Griezmann anaingia kwenye rekodi ya wachezaji sita wa gharama kumwaga wino ikiwa ni pamoja na  Neymar, Kylian Mbappe, Philippe Coutinho, Joao Felix na Ousmane Dembele.
MARIO BALOTELLI APATA DILI LA MAANA PARMA FC MBAPPE AWEKEWA NGUMU KUSEPA PSG AAMBIWA LABDA ALAZIMISHE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply