Uncategorized

HAYA NDIYO MAKOMBE ANAYOYATAKA NYOTA MPYA WA BARCELONA ANTONIE GRIEZMANN

admin July 15, 2019 12:35 pm

ANTONIE Griezmann, nyota mpya wa Barcelona ambaye amesaini kandarasi ya miaka mitano amesema kuwa hesabu zake kubwa ndani ya kikosi hicho ni kubeba makombe yakutosha.

Griezmann amejiunga na Barcelona akitokea Atletico Madrid kwa dau la pauni milioni 108.

“Nafikiria kuwa nimekuja hapa kupata upinzani mpya na nitafanya mambo makubwa sana kuhakikisha ninakuwa kwenye kiwango kikubwa.

“La Liga, Copa del Rey na Ligi ya Mabingwa Ulaya ndiyo yanayotakiwa na timu hii na mimi ninaamini kuwa nitayatwaa,” amesema.

KAZI IMEANZA YANGA, YAPIGA MTU 10-1, BALINYA, SIBOMANA, NGASSA WALIAMSHA MO ALIAMSHA TENA HUKO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply