Uncategorized

YANGA WAJIPANGA KUWEKA KAMBI NJE YA NCHI BAADA YA DROO YA CAF

admin July 20, 2019 10:41 am


FRANK Kamugisha, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili na Mashindano ndani ya Yanga amesema kuwa mpango wa kuweka kambi nje ya nchi haujayeyuka kinachosubiriwa ni droo ya Caf kuchezeshwa kisha watakwea pipa.

Yanga awali ilipanga kuweka kambi nje ya nchi na China ilikwa inatajwa kwa ajili ya matayarisho ya msimu ujao baada ya kukamilisha zoezi la usajili kwa sasa wapo Morogoro.

“Mpango wetu wa kwenda nje upo na tunachosubiri ni kuona ratiba ya Caf itakapotoka tujue tutacheza na timu gani ndipo taamue wapi tunakwenda kuweka kambi.

“Lengo kubwa ni kwenda kuweka kambi nchi itakayokuwa na hali ya hewa na nchi tutakazopangiwa na Caf baada ya droo kuchezeshwa,” amesema.

HICHI NDICHO KILICHOMPA SHAVU BILAL ALLIANCE KOCHA MDOGO AMPA KICHAPO KAKA YAKE NA KUTWAA KOMBE LA AFCON

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply