Uncategorized

BREAKING NEWS: KILOMONI “NINJA” AACHIWA NA POLISI NA KUENDELEA NA MKUTANO WA WAANDISHI

admin July 25, 2019 10:16 am



Mwanachama maarufu wa Simba, Hamisi Kilomoni ameachiwa huru bada ya kukamatwa na jeshi la Polisi kutokana na kufanya mkutano bila ya kuwa na kibali.


Mzee Kilomoni alikamatwa na kuepelekwa katika kituo cha Polisi cha Oysterbay ambako alishikiliwa kwa muda.


Hata hivyo, baadaye Kilomoni aliachwa huru na kurejea nyumbani kwake katika eneo la Block 41, si mbali sana na kituo cha Oysterbay na kuendelea na mkutano.


Taarifa zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa Mzee Kilomoni anaendelea na mkutano huo wa waandishi wa habari kuhusiana na klabu ya Simba.

UNITED SASA WASHINDWE WENYEWE KWA KIUNGO WA KEIZER VIDEO : TIZI LA MKUDE, AJIBU, NYONI KAMBINI STARS

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply