Uncategorized

SIMBA: TUPO FITI KUMENYANA NA POWER DYNAMO

admin August 5, 2019 3:36 am
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuelekea kwenye SportPesa Simba Wiki wamejipanga kufanya makubwa msimu ujao na wataanza kufanya hivyo kesho kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Power Dynamo.

Simba kesho itacheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwenye kilele cha SportPesa Simba wiki utakaochezwa uwanja wa Taifa.

Patrick Ausssems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kirafiki kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya.

“Tumefanya maandalizi mazuri nchini Afrika Kusini na tupo sawa kwa ajili ya ushindani wa kimataifa na kitaifa hivyo tuna amini tutafanya vizuri kwani muda upo na uwezo tunao,” amesema.
YANGA YAPANIA KUFANYA MAAJABU MAKUBWA MSIMU UJAO KOCHA TANZANITE AWAPA PONGEZI WACHEZAJI WAKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply