Uncategorized

SASA SIMBA WAHAMISHIA HASIRA MCHEZO WA MARUDIO KIMATAIFA, WAWAITA MASHABIKI

admin August 11, 2019 12:29 pm


PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mpango mkubwa wa kikosi chake ni kwenye mchezo wa marudio dhidi ya UD Songo

Simba jana ilicheza mchezo wa kwanza wa kimataifa kwenye hatua ya awali dhidi ya UD Songo, uwanja wa Beira nchini Msumbiji mpaka dakika 90 kukamilika ubao ulikuwa unasoma 0 kwa UD Songo na Simba pia.

Baada ya kumaliza mchezo huo kikosi kilikwea pipa na leo kipo Dar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Azam FC utakaochezwa Jumamosi.

“Tumerudi salama ni jambo la kushukuru, kwa sasa kazi kubwa ni kuelekea kwenye mchezo wetu wa marudio ambao tutakuwa nyumbani hivyo mashabiki wajitokeze kutupatia sapoti,” amesema.

JESHI KAMILI LA AZAM FC LITAKALOANZA LEO DHIDI YA FASIL KENEMA SINGIDA UNITED YAJICHIMBIA MWANZA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply