Uncategorized

AZAM FC YASAHAU MAUMIVU YA KUPOTEZA NGAO YA JAMII, SASA NI MWENDO WA KIMATAIFA

admin August 20, 2019 4:39 am


UONGOZI wa Azam FC, umesema kuwa unasahau habari za kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba uliochezwa Jumamosi sasa nguvu kazi ni kwenye mchezo wa kimataifa.

Azam FC lipoteza kwa kufungwa mabao 4-2 dhidi ya Simba mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa Uwanja wa Taifa sasa wameanza maandalizi ya mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Fasil Kenema.

Mchezo huo wa marudio utachezwa Uwanja wa Chamazi majira ya saa 10:00.

Kocha Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije amesema kuwa mchezo utakuwa mgumu ila wamejipanga kupata matokeo chanya.

 Mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Ethiopia Azam FC ilikubali kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 kazi kubwa Jumamosi ni kupata ushindi ili kusonga mbele.

AGOSTI 30 MZIZIMA BOXING FAMILY GROUP KUKIWASHA, MASHABIKI WAITWA KUPATA UHONDO VITA YA UFUNGAJI BORA ENGLAND IMEANZA KUPAMBA MOTO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply