Home Uncategorized MANARA AVUNJA UKIMYA, AFUNGUKA KUHUSIANA NA YANGA

MANARA AVUNJA UKIMYA, AFUNGUKA KUHUSIANA NA YANGA

0

Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefunguka kwa kuipongeza Yanga baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Township Rollers.

Yanga imepata ushindi wa bao 1-0 na kufanya izidi kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 baada ya mechi iliyopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumalizika kwa sare ya 1-1.


Hiki hapa alichokiandika Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram.