Uncategorized
HIZI HAPA NNE KUSHUKA UWANJANI LEO TPL
admin
August 25, 2019
9:48 am
LEO Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na Vodacom inaendelea ambapo mechi mbili zitachezwa kwa timu nne kushuka uwanjani kama ifuatavyo:-
Mwadui v Singida United, uwanja wa Mwadui.
Lipuli v Mtibwa Sugar uwanja wa Samora.
Mechi zote zinapigwa saa 10:00 jioni.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.