Home Uncategorized BENKI KBC YAINGIA MKATABA WA MAMILIONI NA LIGI KUU BARA Uncategorized BENKI KBC YAINGIA MKATABA WA MAMILIONI NA LIGI KUU BARA By admin - September 4, 2019 130 0 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya KCB leo September 4 2019 wameingia mkataba wa mwaka mmoja wa Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.Mkataba huo unathamani ya shilingi milioni 495 + VAT.