Home Uncategorized BENKI KBC YAINGIA MKATABA WA MAMILIONI NA LIGI KUU BARA

BENKI KBC YAINGIA MKATABA WA MAMILIONI NA LIGI KUU BARA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya KCB leo September 4 2019 wameingia mkataba wa mwaka mmoja wa Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

Mkataba huo unathamani ya shilingi milioni 495 + VAT.

SOMA NA HII  KAMA KAWAIDA YAKE, MANARA AMVAA NUGAZ KWA MARA NYINGINE, HIKI NDICHO AMEKIANDIKA