Uncategorized
MBABE WA YANGA AREJEA SIMBA
Uongozi wa klabu ya Simba umeamua kumrejesha winga wake wa zamani Shiza Kichuya.
Mchezaji huyo alikuwa sehemu ya kikosi cha kikosi cha wekundu hao wa Msimbazi hapo awali kabla ya kuelekea Misri kucheza soka la kulipwa.
Haijafahamika kipi kimemkuta Kichuya huko Misri lakini mabosi wake wa zamani wameamua kumrejesha kazini Msimbazi.
Inaelezwa kuwa Kichuya amesaini mkataba wa miaka miwili.

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.