Home Uncategorized TAMKO LA JPM JUU YA WALIOJENGA MABONDENI – VIDEO

TAMKO LA JPM JUU YA WALIOJENGA MABONDENI – VIDEO

RAIS John  Magufuli amewataka wananchi wote wote wanaojenga kwenye mabonde waache na waondoke wenyewe, wayaachie maji yapite na mabonde yatumike kwa ajili ya kulisha mifugo na kulima lakini si kwa ajili ya makazi.

SOMA NA HII  PILATO SITA WATANGAZWA KWA KAZI MAALUM KESHO SIMBA NA AZAM NGAO YA JAMII