Uncategorized

POLISI TANZANIA YAKATAA SARE YAKE DHIDI YA YANGA

admin February 19, 2020 3:22 am

MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa hakustahii sare kwenye mchezo wake wa jana dhidi ya Yanga kutokana na kiwango walichoonyesha wachezaji wake ndani ya Uwanja.

Polisi Tanzania, ikiwa Uwanja wa Ushirika Moshi  ilikubali sare ya kufungana 1-1 kwenye mchezo wa ligi uliokuwa na ushindani mwanzo mwisho.

Yanga ilikwenda mapumziko ikiwa inaongoza bao 1-0 lilipinduliwa kibabe na Polisi Tanzania dakika ya 61 kupitia kwa Matheo Anthon ila waamuzi walilikataa na dakika saba mbele likapichwa lingine kupitia kwa Sixtus Sabilo na kuweka mzani sawa.

Hamsini amesema:”Siwezi nikazungumza mengi kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga, vijana walijituma na tulistahili ushindi matokeo tuliyopata hatukstahili,”.

HUU HAPA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA LICHA YA KICHAPO CHA MABAO 2-1 MBELE YA MBEYA CITY, DIDA AWEKA REKODI YAKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply