Uncategorized

COASTAL UNION: HAIKUWA BAHATI YETU KUSHINDA MBELE YA YANGA, TUNAJIPANGA

admin February 24, 2020 5:41 am

NAHODHA wa Coastal Union, Bakari Nondo amesema kuwa haikuwa bahati yao kuibuka na ushindi mbele ya Yanga jana Uwanja wa Mkwakwani Tanga licha ya kupambana kusaka pointi tatu.

Nondo mwenye bao moja na pasi moya alikuwa mhimihili wa timu wakati ikisaska ushindi mbele ya Yanga kipindi cha pili ilitengeneza nafasi nyingi ambazo hazikuleta matokeo na kufanya wagawane pointi mojamoja na Yanga.

Akizungumza na Saleh Jembe Nondo amesema:”Tulipambana ili kutafuta matokeo na bahati haikuwa yetu, kushindwa kushinda sio mwisho wa mapambano tutajipanga kwa ajili ya mechi zetu zinazofuata.

“Ushindani ni mkubwa kwani mchezo wetu uliopita dhidi ya Ruvu tulipoteza tukiwa hapa nyumbani jambo lililofanya tuongeze umakini,”.

HIVI NDIVYO ARSEANL WALIVYOPINDUA MEZA KIBABE MBELE YA EVERTON SIMBA KUIFUATA LEO STAND UNITED SHINYANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply