Uncategorized

KESHO AZAM FC MIKONONI MWA IHEFU KULITETEA TAJI LAO LA SHIRIKISHO

admin February 25, 2020 7:14 am


MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Azam FC kesho watakuwa na kibarua cha kuendeleza mbio za kutetea taji lao hilo kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora.

Azam FC itakaribishwa na Ihefu, Uwanja wa Sokoine majira yaa saa 10:00 kutafuta tiketi ya kusonga mbele hatua ya robo fainali.

Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na uimara wa kikosi cha Ihefu kinachoshiriki Ligi Daraja la Kwanza na uimara wa Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba.

Idd Cheche, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mabingwa wakiwa ni mabingwa watetezi ni lazima wapambane kulitetea taji lao.


NAMUNGO KAMILI GADO KUVAA MBEYA CITY LEO SOKOINE KAGERA SUGAR YATUMA UJUMBE HUU KWA KMC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply