Uncategorized
HIZI HAPA 16 ZITAKUWA VITANI KUSAKA POINTI TATU MUHIMU
LIGI Kuu Tanzania Bara kuendelea leo kuchanja mbunga kwa timu 16 kuwa uwanjani kuzisaka pointi tatu muhimu.
Hizi hapa zitakutana leo, mechi zote zitapigwa saa 10:00 isipokuwa mechi ya Yanga na Alliance itapigwa saa 1:00 usiku.
Mwadui v Coastal Union , Kambarage
Singida v Polisi Tanzania, Namfua.
Kagera Sugar v Prisons, Kaitaba
Ruvu v Mbao, Mabatini
Biashara v Mbeya City, Karume.
Mtibwa v Ndanda, Gairo.
JKT Tanzania v Azam, Jamhuri
Yanga v Alliance, Taifa
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.