Uncategorized

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA KMC

admin February 29, 2020 2:48 pm


UONGOZI wa Simba umesema kuwa umejipanga kuona unapata matokeo mbele ya KMC kwenye mchezo wa kesho utakaochezwa Uwanja wa Taifa majira ya saa 1:00.

Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandnbroeck amesema kuwa anatambua mchezo utakuwa mgumu ila anaamini watapata pointi tatu.

“Kila kitu ni hatua na kwa sasa ambapo tupo sio sehemu mbaya tunahitaji kuona tunapata matokeo mazuri yatakayotufanya tuzidi kuwa imara,” amesema.

Simba inaongoza ligi ikiwa imecheza mechi 24 na ina pointi 62.

SABABU YA MUDA WA MCHEZO WA LEO KUBADILISHWA HII HAPA KOSA KUBWA LA MTIBWA SUGAR KUMBE ILIKUWA KUZITUNGUA SIMBA NA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply