Uncategorized

SIMBA; KUFUNGWA NA YANGA SIO MWISHO WA KUPAMBANA, MASHABIKI TUPENI SAPOTI

admin March 10, 2020 4:27 am

JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kuchapwa kwao mbele ya Yanga sio mwisho wa mapambano.

Bocco mwenye mabao matatu na pasi moja ya bao alishuhudia timu yake ikichapwa bao 1-0 na watani zao wa jadi Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Machi 8, Uwanja wa Taifa.

“Haina maana kwamba kufungwa kwetu ndio mwisho wa mapambano hapana kazi bado inaendelea na tuna mechi mkononi ambazo tunaamini tutapata matokeo, mashabiki wasikate tamaa nasi pia tutaendelea kupambana,” amesema.

Mchezo wa kwanza Simba ikiwa nyumbani ilikubali sare ya kufungana mabao 2-2 mbele ya Yanga na mchezo wa pili ilinyooshwa kwa bao 1-0 mbele ya wapinzani wao wa jadi Yanga.

MAYANGA YUPOYUPO SANA KWENYE UBORA WAKE CORONA YASIMAMISHA LIGI KUU YA ITALIA KWA MUDA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply