Home Uncategorized HIZI HAPA MECHI 10 ZA SIMBA ZILIZOBAKI KUKAMILISHA MZUNGUKO WA PILI

HIZI HAPA MECHI 10 ZA SIMBA ZILIZOBAKI KUKAMILISHA MZUNGUKO WA PILI

414
0


KIKOSI cha Simba kikiwa kimecheza mechi 28 kimebakiza mechi 10 kukamilisha mzunguko wa pili.

Mechi zake 10 zilizobaki watakutana na wapinzani hawa:-
Simba v Ruvu Shooting

Simba v Mwadui


Mbeya City v Simba

Tz prisons v Simba

Ndanda v Simba


Namungo v Simba

Simba v Mbao


Simba v Alliance


Costal Union v Simba


Polisi Tanzania v Simba.