Uncategorized
TANZIA; ASHA MUHAJI, ALIYEKUWA OFISA HABARI WA SIMBA AFARIKI DUNIA
admin
March 25, 2020
2:04 pm
ASHA Muhaji, mwandishi mwandamizi wa michezo nchini amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa huduma ya afya.
Asha aliwahi Ofisa Habari wa Klabu ya Simba amekutwa na mauti hiyo alipokuwa Hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar es Salaam.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.