Uncategorized

MABAO MAWILI YA KAGERE KATI YA 19 AMEFUNGA DAKIKA ZINAZOFANANA KIPINDI CHA PILI

admin March 27, 2020 11:29 am


MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba kwenye mabao yake 19 ni mawili amefunga dakika zinazofana kwa kipindi cha pili.

Simba ikiwa imefunga mabao 63 ikiwa nafasi ya kwanza Kagere ametoa pasi tano za mabao.

Ligi Kuu Bara kwa sasa imesimama kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.

Mabao hayo alifunga ilikuwa mbele ya JKT Tanzania wakati Simba ilishinda mabao 3-1 Uwanja wa Uhuru na Simba 4-1 Alliance, Uwanja wa CCM Kirumba yote aliyafunga dakika ya 58.

MORRISON: JUMA ABDUL ASINGENIACHIA, NISINGEIFUNGA SIMBA CHELSEA ZAIWINDA SAINI YA MLINDA MLANGO MANUEL NEUR

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply