Uncategorized

SIMBA: YANGA WAISHUKURU GSM BILA WAO KUTUFUNGA INGEKUWA NDOTO

admin April 14, 2020 7:27 am


UONGOZI wa Simba umesema kuwa uongozi wa Yanga ni lazima waushukuru uwepo wa GSM ndani yao kwani isingekuwa hivyo hata kuwachapa kwenye mchezo wao uliochezwa Machi 8 Uwanja wa Taifa ingekuwa ni ndoto.

Yanga iliibuka na ushindi huo kwa bao pekee lililofungwa na Bernard Morrison kwa mpira wa adhabu aliofunga akiwa nje ya 18 na kuwafanya Simba kuyeyusha pointi tatu jumla.

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa uwekezaji wa GSM umeipa sapoti kubwa Yanga jambo ambalo limewafanya wawe katika ubora.

“Yanga ni lazima waishukuru GSM kwa kuwa wameweza kuwa kwenye ubora wao, isingekuwa hivyo inakuwa ngumu kabisa kutufunga kwenye mechi ambayo tulicheza nao Machi 8,”.

YANGA WABISHI KWELI, WAIKOMALIA SIMBA KWA CHAMA MTIBWA SUGAR YAWATUMA WACHEZAJI KUWA MABALOZI KWA JAMII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply