Uncategorized

KIUNGO WA BIASHARA UNITED AINGIA ANGA ZA KARIAKOO NAMNA HII

admin April 18, 2020 2:01 pm


KIUNGO machachari ndani ya Klabu ya Biashara United, Novatus Dismas inaelezwa kuwa ameingia kwenye rada za timu tatu Bongo ambazo zinaiwinda saini yake.

Lipuli ya Iringa, Yanga ya Daryenye maskani yake mitaa ya Kariakoo pamoja na Kagera Sugar ya Bukoba inaelezwa kuwa zipo kwenye hesabu za kumpata nyota huyo.

Dismas ndani ya Biashara United amekuwa na mchango mkubwa ambapo mpaka sasa ametupia mabao mawili.

PAMBA FC WAMEFUNGUA NJIA WENGINE TUFUATE, KATIKA HILI PONGEZI MNASTAHILI KUMBE ISHU YA CHAMA KIGOGO SIMBA ALIPIGA SIMU YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply