Uncategorized

OLE GUNNAR ANAAMINI RASHFORD NI MATATA KULIKO KANE

admin April 22, 2020 5:35 pm


OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa ana furaha kwa kuwa klabu yake haikutumia pauni milioni 200 kuinasa saini ya Harry Kane.

Solskjaer amesema anaamini uwezo wa mshambuliaji wake Marcus Rashford kuwa ni bora kuliko Kane.

Imekuwa ikielezwa kuwa United inasaka saini ya Kane lakini dili hilo limekuwa likibuma.

Rashford yupo nyuma ya Kane kwa miaka minne lakini alikuwa mmoja kati ya wafungaji mahiri kwenye timu hiyo baada ya kufunga mabao 11 kabla ya kupata majeraha ya nyama za paja msimu huu.

KESHO NDANI YA SPOTIXTRA SVEN AMCHAMBUA STRAIKA MPYA GADIEL- WACHEZAJI WA SIMBA TUNA DENI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply