Uncategorized

BALAA LA LAMINE MORO BEKI KISIKI WA YANGA LIPO NAMNA HII

admin May 30, 2020 1:47 pm


LAMINE Moro, beki wa kati wa Yanga msimu huu wa 2019/20 ikiwa ni mara yake ya kwanza kucheza ligi ya Bongo ameonyesha uimara na kuaminika na Kocha Mkuu, Luc Eymael.


Licha ya kwamba anamiliki bao moja ambalo alijifunga mbele ya Mbeya City Uwanja wa Taifa wakati Yanga ikiazimisha sare ya kufungana bao 1-1 amekuwa imara katika nafasi yake.

Ametumia dakika 1,433 uwanjani. Yanga ikiwa imecheza mechi 27 ameanza mechi 18 kwenye mechi za ligi.


Hizi hapa mechi zake:-Ruvu Shooting (90), Polisi Tanzania (90), JKT Tanzania (90), Alliance (90), KMC (90), Mbeya City (90), Prisons (90), Biashara United (90), Kagera Sugar (90), Azam FC (90), Singida United (90), Mtibwa Sugar (90), Lipuli (90), Ruvu Shooting (90), Mbeya City (90) Mbao (83), Simba (90), KMC (90).

Yanga imefungwa jumla ya mabao 20 ikiwa ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara.

HILI NDILO ZOEZI ANALOLIPENDA MBWANA SAMATTA, HAPA NDIPO WALIPO KAGERA SUGAR V YANGA MECHI YA KISASI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply