Uncategorized

BREAKING: SIMBA KUANZA NA RUVU,NDANDA NA BIASHARA

admin June 1, 2020 8:47 am


HII hapa ratiba za mechi za mwanzo kabisa ndani ya mwezi Juni Baada ya Serikali kuruhusu masuala ya michezo kuanzia Juni Mosi:-
Juni 14, Simba v Ruvu Shooting, Uwanja wa Taifa

Azam FC v Mbao, Uwanja wa Azam Complex

Juni 17,JKT Tanzania v Yanga, Uwanja wa Jamhuri

Hizi hapa zitachezwa Juni 20

JKT Tanzania v Singida United,Uwanja wa Jamhuri

Ndanda v Biashara United, Uwanja wa Nangwanda

Namungo v Kagera Sugar, Majaliwa

Coastal Union v Mtibwa Sugar. Mkwakwani

Polisi Tanzania v Lipuli, Ushirika

Mbeya City v Alliance, Sokoine

KMC v Ruvu Shooting, Uhuru

Simba v Mwadui, Uwanja wa Taifa

BREAKING: RATIBA YA LIGI KUU BARA, NI YANGA V MWADUI, VIPORO MWADUI FC: TUPO TAYARI KWA LIGI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply