Uncategorized
AZAM FC WATEKELEZA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU KWA VITENDO
AZAM FC leo imetekeleza kwa vitendo siku ya wachangiaji damu duniani, kwa baadhi ya wafanyakazi kuchangia damu kwenye benki ya Taifa ya Damu Salama.
Zoezi hilo limefanyika kwenye viunga vya Azam Conmplex, ambapo pia watu mbalimbali wakiwemo mashabiki wa soka, waliruhusiwa kuchangia damu.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na kllabu hiyo kwa pamoja wamedhamini zoezi hilo, lengo ni kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji wa damu hospitalini.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.