Uncategorized
LIVE: TANZANIA PRISONS 0-0 SIMBA
UWANJA wa Sokoine
Tanzania Prisons 0-0 Simba
Zimeongezwa dk 2
Dakika 45 zimekamilika Dakika ya 38 Kimenya anaonyeshwa kadi ya njanoDakika ya 33 Kimenya anapiga kona ya nne kwa Prisons Simba wakiwa hawajapata kona
Dakika ya 30 Ezekia anapiga faulo inayokutana na mikono ya Manula
Dakika ya 23 Fraga anachezewa faulo inapigwa nabNyoni
Dakika ya 19 Prisons wanapiga faulo kuelekea kwa ManulaDakika ya 11 Manula anaokoa kona iliyopigwa na Kimenya.Dakika ya 7 Prisons wanapelekà mashambulizi Simba
Dakika ya 05 Manula anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 04 Kimenya alifanya jaribio lilipanguliwa na Manula
Dakika ya 01 Prisons walifanya shambulizi kali liliokolewa na Manula

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.