MTIBWA Sugar iliyo chini ya Kocha Mkuu, Zuber Katwila ikiwa imecheza jumla ya mechi 32 kibindoni ina pointi 37.
Safu yake ya ulinzi inayoongozwa na kinda Dickson Job imeruhusu jumla ya mabao 29 ya kufungwa.
Safu ya ushambuliaji imetupia jumla ya mabao 25 na katika mabao hayo kiungo wao Abdulrahman Humud ametupia mabao mawili.







