Home Uncategorized RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO KUENDELEA NAMNA HII KWA TIMU KUSAKA...

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO KUENDELEA NAMNA HII KWA TIMU KUSAKA POINTI TATU


Ligi Kuu Bara leo inaendelea ambapo mechi zitakuwa namna hii kwenye viwanja tofauti:-  

Namungo v Tanzania Prisons, Uwanja wa Majaliwa.

Yanga v Mwadui FC, Uwanja wa Taifa.

Ndanda FC v Ndanda FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Ruvu Shooting v Singida United,  Uwanja wa Mabatini.

SOMA NA HII  BAADA YA KUIBANA YANGA, POLISI TANZANIA YATAJA KINACHOWABEBA