Uncategorized

KMC YAMALIZANA NA DONDOLA WA COASTAL UNION

admin August 28, 2020 12:47 pm

 

KMC FC imekamilisha usajili wa golikipa kutoka Coastal Union, Masoud Abdallah (Dondola).

Kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo alikuwa kwenye ubora ambapo alijikusanyia Clean Sheet 17.

Anakuwa ni kipa wa pili kusaini dili jipya ndani ya KMC ambapo anaungana na Raheem Sheikh akiyekuwa anakipiga Mbao FC.

Raheem alisaini dili hilo Agosti 25 kwa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia wana Kino Boys.

KOCHA MRUNDI AANZA KAZI RASMI YANGA MUANGOLA WA YANGA AONJA JOTO YA JIWE BONGO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply