Uncategorized

JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA SAFARI KUJA BONGO

admin August 30, 2020 11:47 am

 

MCHEZAJI mpya wa Yanga ambaye ni mshambuliaji kutoka Burkina Faso, anatarajiwa kutua kesho Agosti 31 ameanza leo safari ili kuibuka ndani ya ardhi ya Tanzania.

Yacouba Sogne yeye ni mshambuliaji ambaya ilipaswa awasili nchini Agosti 27 ila kutokana na kubadilisha ratiba ya ndege alikwama kusafiri na mashabiki wa Yanga walijitokeza kwa wingi Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere kumpokea na kuambulia patupu.

Leo Agosti 30 atakosa tamasha la Mwananchi ndani ya Uwanja wa Mkapa ambalo ni maalumu kwa ajili ya kutambulisha wachezaji wapya pamoja na jezi mpya za Yanga kwa msimu wa 2020/21. 
SIMBA:TUPO TAYARI KWA AJILI YA NGAO YA JAMII MANCHESTER CITY KUTOA WACHEZAJI WATATU KUMPATA MESSI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply