Uncategorized
NYOTA YANGA ASAINI POLISI TANZANIA
TARIQ Seif kiungo mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Yanga amesaini dili la miaka miwili ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania.
Seif alipokuwa akikipiga Yanga alipewa jezi namba 10 ambayo kwa sasa amekabidhiwa mshambuliaji mpya Yacouba Sogne raia wa Burkina Faso.
Polis Tanzania imezidi kujiimarisha kwa ajili ya msimu mpya wa 2020/21 ambapo imesajili nyota wengi wenye uzoefu ikiwa ni pamoja na Daruesh Saliboko aliyekuwa ndani ya Lipuli.
Dirisha la usajili ambalo lilifunguliwa Agosti Mosi limefungwa Agosti 31

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.