Uncategorized

MSHAHAMBULIAJI YANGA APATA DILI RWANDA

admin September 9, 2020 6:47 am

 

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Patrick Sibomana amesaini dili la mwaka mmoja kuitumikia Klabu ya Polisi Rwanda ya Rwanda.


Timu hiyo inashiriki lia Ligi Kuu ya nchini Rwanda na awali ilikuwa inaelezwa kuwa angetua ndani ya Klabu ya SC Kiyovu.


Nyota huyo mwenye miaka 25 ameibuka ndani ya Polisi Rwanda baada ya kuvunjiwa mkataba wake na Yanga kutokana na kutokubali uwezo wake .


Akiwa Yanga, msimu wa 2019/20 alitupia jumla ya mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara kati ya mabao 45.

RATIBA YA LIGI KUU BARA RAUNDI YA PILI IPO NAMNA HII RONALDO AWEKA REKODI YA KIBABE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply