Uncategorized

BREAKING:MECHI YA YANGA V SIMBA YAPELEKWA MBELE

admin October 7, 2020 6:48 am


 

ULE mchezo wa dabi kati ya Yanga na Simba ambao ulikuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki umepelekwa mbele na Bodi ya Ligi Tanzania hivyo itapigwa Novemba 7.


Mechi hiyo mpaka sasa ilikuwa inahesabu siku 11 kabla ya watani hao wa jadi kukutana na tayari Yanga ilishaingia kambini jana, Oktoba 6 kuanza maandalizi.


Taarifa rasmi iliyotolewa leo na Bodi ya Ligi Tanzania imetajasababu kuwa ni pamoja vikwazo kwa usafiri kwa wachezaji walioitwa kwenye timu zao za Taifa kutokana na Janga la Virusi vya Corona.


Taarifa hii hapa:-


BREAKING: Mechi ya Yanga v Simba yapelekwa mbele

MARIO GOTZE ASAINI DILI LA MIAKA MIWILI PSV YANGA YACHEKELEA DABI KUPIGWA NOVEMBA 7

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply