Uncategorized

MUKOKO: NINA MKATABA NA YANGA

admin November 13, 2020 7:47 am

 TONOMBE Mukoko nyota wa Klabu ya Yanga ambaye ameibuka ndani ya kikosi hicho akitokea Klabu ya AS Vita ya Congo amesema kuwa bado ana mkataba na timu hiyo kwa sasa.


Jina la Mukoko limekuwa likitajwa kuingia kwenye rada za Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara.


Mukoko amesema kuwa ana mkataba wa miaka miwili na Yanga hivyo taarifa zinazoeleza kuwa anaondoka ndani ya kikosi hicho ni za uongo.

KOCHA MKUU WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND ATUMIA MUDA MWINGI KUMFARIJI KLOPP SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA USAJILI WA TUISILA NA MUKOKO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply